|
|
| Kikazi zaidi....! |
| Ni pose tu jamani! |
| "Mungu ibariki hii microphone" |
| Bwana na bibi harusi wakiingia ukumbini. Mr & Mrs Mohamed |
| Ilinogaaaa! |
| Ni ngoma za Kisomali kwenda mbele! |
| Hii ni zawadi maalumu analetewa bwaba na bibi harusi,ni ya kiasili ya kisomali |
| Baada ya zawadi kisha ngoma "Shashka" |
| Mc Hudson Kamoga na King Khalid,mwanamuziki maarufu wa Kisomali anayeishi Uingereza. King Khalid alialikwa maalum kuimba kwenye harusi hiyo. |
beautiful wedding
ReplyDelete