Mpya
Loading...

Jonathan Geleta wa Airtel Aoa! Hongera kijana

huyu ndo mke wa Jonathan Geleta. Amenogaje...!

Hapa ndo wanaelekea kupigana pingu za maisha!

Bi arusi ni kama anasema"Aaaaah,nimekubali yote,sina ujanja tena"

kudance kwa kwenda mbele!

"Ndo ishakuwa hivyo..."

Mashost kibao walijumuika kufurahia!

Wawili wapendanao maisha yote!

"Utantakaaaaaaaaaa'!

Pamoja na Kamati!
MC. Hudson Kamoga akisherehesha shughuli. ilinoga balaaa!

Hawa ndo walihusika na kusherehesha shughuli,full ku-party! Ukihitaji MC,vyombo vya muziki,na kupanga harusi yako kisasa waone hawa - 0655 809091










Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment