Mpya
Loading...

Pre-wedding Janeth Mkombozi

Ni Siku ya kihistoria kwa familia ya late Mr&Mrs Mkombozi ambapo walikuwa wakim -sendoff binti yao kipenzi Janeth a.k.a Zuwena katika ukumbi wa Flamingo mbezi beach jijini Dar es salaam.
Hivyo ndivyo ukumbi ulikuwa umepambika ready for the party! Mambo yalikuwa ya ukweli saaaana. It was a great event!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hapa ndi mrembo wa siku bi harusi mtarajiwa akiiingia ukumbini huku akisindikizwa na mpambe wake. Upande wa kulia ndo mwenyewe Janeth na mpambe wake kwa pembeni dada Deborah.

Watu wakiwa na furaha sana wakati anaingia,marafiki,kina dada,kina shangazi,na hata kina baba hawakuzizui faraha zao!!!

Professional Emcee na mtangazaji wa Praise power radio na yeye akaamua kuibia kapicha kidogo,hahahahahahahahahah!

Hapa Debora akimlisha keki bibi harusi mtarajiwa,ni kama anasema "natamani kama ingekuwa yangu,niombee na mimi mwenzioooo!"

Emcee Hudson Kamoga yeye akaamua kudoe keki! It was so yammy! duuuuh tamu sana! "Asante Janeth!"

Huyu ndo alobahatika kupendwa na kimwana Janeth,brotherman wa ukweli George akiwa amekabithiwa mshumaa ishara ya mwanga mpya katika maisha!

Hapa ni kama George anasema,"Duuuh siamini kama tuko wote,mimi na wewe,kweli Mungu mkubwa!"

Hapa wakipa misosi ya ukweli wakiwa pamoja na wapambe wao.......................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

"TULIKOTOKA NI MBALI MUNGU KATUTOA,NA KULE TUNAKWENDA ATATUFIKISHA,TULE KWA RAHA ZETU!"

Janeth ni kama anauliza,"How do you feel my love?" George anajibu, I feel like king of the land to have you"hahahahahahahaha!
Hii ni kamati ya maandalizi wakiwa kwenye picha ya pamoja na Janeth,mwenye kipaza sauti ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa kamati hii Mr Bakari Mgaza!

Mwenyekiti wa kamati akiendelea kutoa maalezo ya zawadi mbalimbali walizo mzawadia Janeth!

Wa kwanza kutoka kushoto ni Shangazi wa Janeth akifuatiwa na mama mlezi na baadhi ya wanakamati na ndugu wa Janeth.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment