Mpya
Loading...

Pre - Wedding


Emcee HUDSON KAMOGA akiwa na Bi. Hamida Nassoro. Pre wedding ilifanyika tarehe 11 September 2011 kkatika ukumbi wa Delux,Sinza jijini Dar es salaam.




Band ya Tanzanite walikuwa wakitumbuiza katika Pre-wedding ya Hamida Nassoro katika ukumbi wa Delux sinza. Ilikuwa si kipolepole!


Bwana harusi HUGO na Bi harusi Esther wakiwa na furaha sana na matarajio makubwa ya kuwa na familia yenye furaha. Ilikuwa ni tarehe 17th Sept 2011, Stalion garden. Ilikuwa bonge la party ikishereheshwa na Emcee Hudson Kamoga.

Hapa babu alikuwa akitoa nasaha za ukweli huku Hugo na mkewe wakisikiliza kwa makini!

Hivi ndivyo Emcee Hudson Kamoga alivyokuwa akisherehesha katika sherehe hiyo ya harusi ya Hugo na Esther. Palipendeza saaaaaaaaaaaaan!
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

1 comments :