| Weweeeeee! Kama kusoma huwezi... hata picha huoni???!!!! |
| M/kiti wa kamati akitoa ukaribisho kwa wageni |
| Emcee Hudson Kamoga(0655 809091) akisali kufungua sherehe kwa maombi |
| Haya banaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! |
| Hii ndiyo kamati ya maandalizi ikiongozwa na kapteni Shimbo! Good work kamati! |
| Nicko weeeeeeeeeee! Kila mtu anakula kwa nafasi yake banaaaaa! Sumai katulia tuliiiiiiiiii! |
| "Tucheze mpenzi kwa raha zetu!" Mambo ndivyo yalivyohitimishwa katika ukumbi wa 5 stars Mbezi beach jijini Dar es Salaam. It was the happiest moment for both of them! |
0 comments :
Post a Comment